MIKUTANO MIKUBWA YA INJILI INAENDELEA KATIKA ENEO LA VITONGA MLALI MOROGORO

TUCASA CHUO KIKUU MZUMBE WAKEINDESHA MIKUTANO YA INJILI KATIKA ENEO LA VITONGA Tangu tarehe 4-marchi hadi tarehe 17-marchi 2018 vijana hawa watakua katika eneo la vitonga kwa ajili ya kutangaza habari nema za matumaini ambapo asomo mbalimbali yatakua yakitolewa na kuletwa mubashara kabisa kutakua n msomo yafuatayo 1:UJASIRIAMALI 2:AFYA 3:MASOMO YA NDOA 4:NENO LA MUNGU 5:MIANZO MIPYA NA MJUE MUNGU SERIES masomo haya yataletwa na yanatolewa na watumishi wa MUNGU Mr KELVIN (Ujasiriamali) Ev: PATRICK AYOUB (Afya) Pr: SULEIMANI(Ndoa) Pr: ISACK NKYA(Neno la MUNGU) Ev: MUYENGI BS Jr(Mianzo mipya na Mjue MUNGU series) Nyote mnakaribishwa na kwa sababu hiyo MUYENGI ONE NIJUZE tutakua tunakusogezea habari hizi endelea kufuatana nasi ubarikiwe