MIKUTANO MIKUBWA YA INJILI INAENDELEA KATIKA ENEO LA VITONGA MLALI MOROGORO

TUCASA CHUO KIKUU MZUMBE WAKEINDESHA MIKUTANO YA INJILI KATIKA ENEO LA VITONGA

Tangu tarehe 4-marchi hadi tarehe 17-marchi 2018 vijana hawa watakua katika eneo la vitonga kwa ajili ya kutangaza habari nema za matumaini ambapo asomo mbalimbali yatakua yakitolewa  na kuletwa mubashara kabisa kutakua n msomo yafuatayo
1:UJASIRIAMALI 
2:AFYA
3:MASOMO YA NDOA
4:NENO LA MUNGU
5:MIANZO MIPYA NA MJUE MUNGU SERIES 
masomo haya yataletwa na yanatolewa na watumishi wa MUNGU
Mr KELVIN (Ujasiriamali)
Ev: PATRICK AYOUB (Afya)
Pr: SULEIMANI(Ndoa)
Pr: ISACK NKYA(Neno la MUNGU)
Ev: MUYENGI BS Jr(Mianzo mipya na Mjue MUNGU series)
Nyote mnakaribishwa na kwa sababu hiyo MUYENGI ONE NIJUZE tutakua tunakusogezea  habari hizi endelea kufuatana nasi
ubarikiwe
 

Comments

Popular posts from this blog

JUMA LA MAOMBI TUCASA STUM SOMO LA TATU

JUMA LA MAOMBI LA VIJANA