HAZINA YA PEKEE MAISHANI

SOMO 1;SIRI YA  KAZI SEHEMU YA KWANZA




KAZI NI NINI? Ni aina yoyote ya shughuri aifanyayo mtu inayoweza kumpatia cha kutosha kukidhi mahitaji yaketa kipatO

MPANGO WA MUNGU WA KAZI

MUNGU alikusudia mwanadamu afanye kaz hivyo kazi hivyo ebu tuangalie je kazi imeanza lini katika biblia
KABLA YA ANGUKO
MWANZO 2:8,15
Kazi ilikusudiwa na mungu kuwa ni mbaraka tunaona kazi aliyopewa aadamu na mungu ni kulima na kutunza bustani ambayo mungu aliianzisha kule edeni hivyo kazi haikuletwa kkwa sababu ya dhami bali ulikua ni mbaraka wa mungu kwa watu wake aliowaweka ktika bustani ya edeni
JE BAADA YA ANGUKO KAZI ILIIENDELEA?
NDIO HEBU TUSOME MWANZO 3:17 Mungu anasema utakula mazao yako siku zako zot hivyo kwa usahidi huo kazi ilibaki kua mubaraka
MWANZO 3:19 Mungu anasema kwa jasho utakula hivyo baada ya anguko magugu na miiba ilihus ishwa hivyo likawepo hitaji la kuongeza juhudi katika kufanya kazimaana adamu aliambiwa kwa jasho lako utakula hivyo mtu anapoacha kufanya kazi  na kula bila jasho huyo anakataa mpango wa mungu
Hivyo nikusihi ndugu yangu jishughurishe katika kufanya kaz kilimo maana mungu mwenyew ndo mai maana ndio mpango wa mungu hasa katka kazi za kilimo na kazi zote

FAIDA ZA KUFANYA KAZI


Kazi hutusaidia kupata mahitaji yetu ya lazma
Kazi ni mbaraka naliotupatia mungu
Kazi huimarisha afya zetu
Kazi hutusaidia kuwahudumia wengine

                                    MUNGU AKUBARIKI KARIBU KESHO TUENDELEE KUITAFUTA HII HAZIN YA THAMANI

Comments

Popular posts from this blog

JUMA LA MAOMBI TUCASA STUM SOMO LA TATU

JUMA LA MAOMBI LA VIJANA

MIKUTANO MIKUBWA YA INJILI INAENDELEA KATIKA ENEO LA VITONGA MLALI MOROGORO