HATIMAYE TUCASA KANDA YA MOROGORO WAWEKA  WAKFU VIONGOZI WAO

Ilikua ni tukio la aina yake lililofanyika katika ukumbi wa Sua mazimbu chini ya viongozi wa kanisa  na wachungaji akiwepo pastor Nkya  na pastor Mika
Angalia picha za matukio yot hapa
Kwaya ya kanda ikitoa hduma katika kutano hilo kubwa la kipekeeee sana

Baada ya ibada vijana wa yesu walipata mda wa kumtafakari MUNGU waooooooo


PICHANI NI VIONGOZI WASTAAFU CHINI YA PR NKYA NA DADA  MARIAMU





MOTTO
imetupasa kuzifanya kazi zake yeye aliyetutuma ingali mchanaa
picha na BARAKA MUYENGI

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

JUMA LA MAOMBI TUCASA STUM SOMO LA TATU

JUMA LA MAOMBI LA VIJANA

MIKUTANO MIKUBWA YA INJILI INAENDELEA KATIKA ENEO LA VITONGA MLALI MOROGORO